Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Friday, 13 November 2009

umoja wa ulaya waipa taffu wizara ya afya
Waziri wa Afya, Profesa David Mwakyusa akijaribu moja ya magari 14 ya wagonjwa ambayo ni msaada kutoka Jumuiya ya nchi za Ulaya katika hafla fupi iliyofanyika Dar leo kwa ajili ya kuboresha huduma za mama wajawazito na watoto.
Mbali ya magari ya wagonjwa jumuiya hiyo imetoa pikipiki 5, Laptop Compyuters 4, Photocopy mashine vikiwa na thamani ya zaidi y ash. Bilion moja

1 comment:

  1. very good blog watanzania, endelezeni kutupa habari za hapa na nyumbani, regards isaac matsinde

    ReplyDelete