Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Friday, 7 May 2010

Siku ya Uchaguzi wa Ta Reading

Msimamizi wa uchaguzi wa Jumuiya ya Watanzania Reading Bw Lameck akiwa anatoa maelezo ya jinsi ya kupiga kura za kuchagua viongozi wa jumuiya katika mji huu. Kulia kwake ni msaidizi wake Bw Mwendo akiwa anahakikisha kuwa kila kitu kiko tayari kwa uchaguzi. Uchaguzi huo ulifanyika tarehe 24/04/2010 kwenye ukumbi wa Old Fellow katika mji wa Kusoma. Kulia kwao akiwa anafuatilia kwa makini sana ni Bw John Lusingu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Uingereza.

No comments:

Post a Comment