Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Sunday, 27 June 2010

Ningependa kuwapatia wadau wote fursa ya kuona mahojiano ya Mh Dr Kamala na wadau wa hapa Ukerewe Kuhusiana mtanzamo wa jumuia ya Africa mashariki na maslahi ya Tanzania.


Pia Mh Kamala aliwahakikisha kutolewa kwa ushuru wa vifaa vya kutengenezea video na filamui kwa ajili ya kuendeleza kiwanda cha kutengenezea filamu. Pia Dr Cleopa kutoka chuo kikuu cha mjini Kusoma alikuwepo mada kuhusu mtazamo wa wabongo kwa ujumla. Mkutano huu uliandaliwa na TA Reading ukiongozwa na Mwenyekiti Mh Banduka. Bonyeza chini




http://www.youtube.com/watch?v=Jj8h0iiIidI






Asanteni

No comments:

Post a Comment