Washibiki wote wa mpira walikusanyika pamoja na kusherekea ushindi wa Ghana kwa staili ya kipekee.
Haya ndio mambo ya Waghana na wadau wa mataifa mengine wakisheherekea na kurusha nyuki kushangilia ushindi wa timu yas taifa ya Ghana THE BLACKSTARS dhidi ya timu ya Marekani kwa Obama.
Bofya link chini kuangalia video.
ttp://www.youtube.com/watch?v=Qttrz4vNzhw
Habari ndio hiyo
Mungu Ibariki Africa,
No comments:
Post a Comment