Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Thursday, 15 July 2010

Mwana Muziki Mpya

Mjue Msanii Mkazuzu wa Kitaa

Mkazuzu ni msanii wa kibongo anaishi hapa ukerewe mjini Kusoma ambae anakuja juu. Hi ni Single yake ya pili inaitwa Hustle akimshirikisha msanii Mrembo Ordaine.

Bonyeza Chini kuangalia

http://www.youtube.com/watch?v=AmXE8I_jp0c

Tunawaomba wadau wote kumpatia support msanii huu ambaye ameanza safari hii ndefu ya anga la muzuki.

Asante

1 comment:

  1. Hakuna kitu,picha haifundishi kitu,why tunafauta mambo ya kuiga ya ulaya?kuvaa nguo inadondoka.Hapa pesa yangu haitoki

    ReplyDelete