Monday, 25 October 2010

First ever Tanzanian Association Pool Competition

Mshindi wa Mashindano ya pool Alan Kalinga akipewa pongezi na M/hazina Mohammed Upete wakiwa pamoja na mtaalamu wa mchezo wa  pool.
                                    
 Bwana Kisiri akijiseti kucheza mpira wake.
 Mtaalamu wa mchezo wa pool Magola nae hakuwa nyuma.


 Makwaju entertainment kama kawaida yao walitoa show kabambe pamoja na kutoa offer ya chakula kwa wachezaji wote.
 Riziki akimalizia shot ya mwisho wakati alipopambana na kijana wa Makwaju Entertainemnt
 Muda wa maakuli chakula ambacho kiliandaliwa na Uongozi wa Vincents kushirikiana na Makwaju entertainment


Mdau Newton nae hakukosa.

No comments:

Post a Comment