Sunday, 27 May 2012

Tunasikitika kutangaza kuwa


 Mr and Mrs Frank Mushi wa 125 Blandford Road, Reading,
 wanasikitika kuwaarifu msiba wa mama yake mzazi Frank Mushi uliotokea jana usiku
 Moshi, Tanzania.
  Kama ndugu/rafiki wa karibu au Mtanzania mwenzetu, tunaomba mchango wako
wa hali na mali ili kufanikisha safari kuwahi mazishi. Kwa maelezo zaidi wasiliana na
 07424796442 au  07758135146, Mtumie na mwenzako.

No comments:

Post a Comment