TANZANIAN ASSOCIATION READING AND BERKSHIRE. Bringing the communities together through integration and cohesion Together we can make our communities better and safer
Mzee wa Libeneke Oyee akiwa katika madoido ya kupata mkanda mzuri wa ku upload kwenye blog ya issa michuzi,Libeneke ame advance kwenye Teknolojia .Libeneke Oyeeeeeee
Leo nimebahatika kumnasa mzee wa libeneke Mr Michuzi akiwa katika kunasa picha nzuri .Oyeeee Libeneke Oyee
Mwenyekiti Mpya wa TA UK-Dr John Lusingu (Above)
Mwenyekiti wa TA UK Dr. John Lusingu akiwa na viongozi wapya ambao wataongoza Jumuiya ya watanzania UK.
No comments:
Post a Comment