TANZIA: READING
Jumuiya ya Watanzania  Reading, inasikitika kuwatangazia kifo cha Mama Mzazi wa Mchungaji  Mlozi wa Reading kilichotokea Leo huko Iringa Tanzania  09/04.2010,kama  desturi  fikisha mchango wako kwa viongozi wa Jumuiya ya Watanzania  Reading ,au jitahidi kufika kwa mfiwa ili tumpatie faraja.
Mahali; 34 Alan Place
Reading
RG30 3BW
Tel:07578463537
 
 
No comments:
Post a Comment