Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Tuesday, 27 April 2010

SHEREHE YA KUSIMIKWA KWA VIONGOZI

WA JUMUIYA YA WATANZANIA READING

03.05.2010

Jumuiya ya watanzania Reading inapenda kuwaalika watanzania wote waishio Uingereza kwenye sherehe ya kuwasimika viongozi wapya waliochaguliwa tarehe 24.04.2010.

Jumuiya imewaalika viongozi mbalimbali wa kitaifa na vyama visivyo vya kiserikali. Mgeni rasmi katika hafla hii atakuwa ni mh. Mama Balozi Mwanaidi Maajar.

Jumuiya imeandaa shughuli mbali mbali siku hiyo ikiwemo nyimbo, mwakilishi wa reading post, wagombea ubunge kutoka vyama vya Labour, Conservative na Liberal Democratic pia wamealikwa kuwasimika viongozi.

Kingilio na vinywaji Bure

Ukumbi: The warehouse

1A Cumberland Road

Reading

RG1 3LB

Tarehe:03.05.2010

Muda: Kuanzia Saa 10 Jioni (4pm)

Mpaka Saa 5 Usiku (11pm)

Burundani: Italetwa na Dj Richie wa Bongo DEEJAYS

Kwa mawasiliano zaidi piga 07954563709, 07876126862, 07979428883

Nyote Mnakaribishwa

No comments:

Post a Comment