Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Friday, 7 May 2010

Uchaguzi wa Ta Reading

Hawa ni baadhi ya kinamama kwani nao hawakubaki nyuma katika kuhakikisha wanachagua viongozi wao. Na hata matokeo yake yameonekana kwani kuna wanawake sita katika uongozi huu mpya. Hiyo ikiwa ni karibu nusu ya uongozi mzima. Hongereni sana kina Mama kwa kujitokeza kwa kazi ya Jumuiya. Kwani kuna msemo unaosema  "Elimisha Mwanamke uelimishe Taifa".

1 comment: