Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Monday 4 October 2010

MCHUNGAJI MATIKU THOMAS NYITAMBE

Tunasikitika kuwatangazia kifo cha Mchungaji MATIKU THOMAS NYITAMBE

kilichotokea leo huko TARIME, MUSOMA-TANZANIA kwa ajali ya gari.
Marehemu alikuwa anasafiri na mpenzi mkewe ambaye naye inasadikika amepata majeraha.
Ni jioni hii tu ndio ametolewa kwenye chumba cha ICU
(Intensive Care Unit).


Marehemu ni baba mzazi wa:
1. Beatrice Chisumo
2. Veronica Dibogo na,
3. Sony
Ambao wote wapo hapa Uingereza.

Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading
RG4 5DB


Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:


Benard Chisumo
Mob: (0) 787 612 6862
Home: (0) 118 954 5890


Familia ya Chisumo inapanga kusafiri ikiwa tu watafanikiwa kupata nauli.
Tunaomba ushirikiano wenu katika hili.

Mungu awajalie neema yake.

No comments:

Post a Comment