Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Monday 4 October 2010

Tanzia

Tunasikitika kuwatangazia kifo cha Mchungaji MATIKU THOMAS NYITAMBE

kilichotokea leo huko TARIME, MUSOMA-TANZANIA kwa ajali ya gari.

Marehemu alikuwa anasafiri na mpenzi mkewe ambaye naye inasadikika

amepata majeraha. Ni jioni hii tu ndio ametolewa kwenye chumba cha ICU

(Intensive Care Unit).

Marehemu ni baba mzazi wa:

1. Beatrice Nyitambe Chisumo (Mke wa Bernard Chisumo)

2. Mrs Veronica Dibogo na,

3. Soni Nyitambe

ambao wote wapo hapa Uingereza.

Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading

RG4 5DB

Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:
Bernard Chisumo

Mob: (0) 787 612 6862

Home: (0) 118 954 5890

No comments:

Post a Comment