Promote your business for free

THIS BLOG IS SPONSORED BY AFRICAN SOCIAL NETWORK ,THE SOCIALY NETWORK PAY ITS USER IN POINTS BASED JOIN NOW AND SEE HOW MUCH MONEY YOU CAN MAKE USING SOCIAL NETWORK. | FEEL FREE TO ADVERTISE ON WWW.BONGLOB.COM

Wednesday, 12 May 2010

Mkutano London

Uongozi wa muda wa jumuiya ya watanzania London umekamilisha kazi mliyotupa ya kutengeneza mfumo mpya wa kiuendeshaji pamoja na kuitisha uchaguzi wa viongozi. Sasa tuko tayari kuwakilisha taarifa hii kwenu wanajumuiya. Shughuli hii itafanyika Ijumaa tar 14-May 10 kuanzia saa 11 jioni. Uchaguzi wa viongozi wa kudum utafanyika tar 5-June 10 na ili kufanikisha hayo kikao hiki ni muhimu sana hivyo tunaomba ushirikiano wenu, mhudhurie na kutupa mawazo pale inapohitajika.


Agenda:

--MFUMO: mfumo mpya wa kiutendaji

--KATIBA: kuichambua katiba yetu

--UCHAGUZI: kupata wagombea na upigaji kura.

--KUSIMIKWA: maandalizi ya kusimika viongozi wapya

--BALOZI: kuhusu wanajumuiya kumuaga balozi na kuwasimika viongozi

--ADA: ada za uanachama, kiasi cha kulipa na jinsi ya kulipa

--Mengineyo

Fika mapema, sote tutakuwa pale tayari kayapitia hayo yote.

-Kikao: kikao cha wanajumuiya

-Waalikwa: watanzania London

-Mahali: TANZANIA HIGH COMMISSION, 3 Stratford Place W1C 1AS, London.

Muda: Saa 11 jioni



N.B: Iweke tarehe 5 June kwenye ratiba yako, inaandaliwa party safi.



G Mboya - TA Director of Communication

No comments:

Post a Comment